top of page
  • YouTube Social  Icon
  • Instagram Social Icon
  • Twitter Social Icon
  • Facebook Social Icon
air
fa_edited
tangazo
1
2
ngwe6_edited
paul-kagame
majaliwa_edited
magufuri
makamu

ZANZIBAR- Dk.Shein Atoa Msamaha kwa wanafunzi .

  • Writer: Ngwenje Tv Report
    Ngwenje Tv Report
  • Jan 11, 2019
  • 1 min read

ais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein tayari amewasili Kisiwani Pemba kwa ajili ya Kilele cha Maadhimisho ya sherehe za miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar zitakazofanyika tarehe 12.01.2019 katika kiwanja cha Gombani Wilaya ya Chake Chake, Mkoa wa Kusini Pemba. Aidha Dk,Shein Ametoa msamaha kwa wanafunzi 12 ambao walikuwa wakitumikia Vyuo vya mafunzo vya unguja na Pemba ikiwa ni Shamrashamra za sherehe ya miaka 55 ya mapinduzi ya Zanzibar.

FOLLOW US ON SOCIAL NETWORKS;



Comments


Sign-Up to Our Newsletter

© 2018 Ngwenje Tv

bottom of page