top of page
  • YouTube Social  Icon
  • Instagram Social Icon
  • Twitter Social Icon
  • Facebook Social Icon
air
fa_edited
tangazo
1
2
ngwe6_edited
paul-kagame
majaliwa_edited
magufuri
makamu

Z Anto amshtukia sajenti 'feki' aliyedai katumwa na RC Makonda

  • Writer: Ngwenje Tv Report
    Ngwenje Tv Report
  • Feb 12, 2018
  • 1 min read

Msanii wa muziki, Z Anto ambaye ni mmoja kati ya wamiliki wa kiwanja cha 'Mzee Mtundu' kilichopo Kigamboni jijini Dar es salaam hatua chache baada ya kuvuka pantoni, amefunguka kuwazungumzia watu walioibuka siku jana na kudai kiwanja hicho ni chao huku mmoka kati ya watu hao akienda mbali zaidi kwa kudai kwamba walitumwa kuchukua kiwanja hicho na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda.


Comentários


Sign-Up to Our Newsletter

© 2018 Ngwenje Tv

bottom of page