top of page
  • YouTube Social  Icon
  • Instagram Social Icon
  • Twitter Social Icon
  • Facebook Social Icon
air
fa_edited
tangazo
1
2
ngwe6_edited
paul-kagame
majaliwa_edited
magufuri
makamu

Watuhumiwa wa kesi ya ugaidi Arusha wamehukumiwa

  • Writer: Ngwenje Tv Report
    Ngwenje Tv Report
  • Jan 30, 2018
  • 1 min read

January 16, 2018 watuhumiwa 25 wa kesi ya Ugaidi Arusha walivua nguo Mahakamani kwa madai yakuchelewa kwa upelelezi katika kesi zao.


Leo January 30, 2018 Watuhumiwa hao 25 wa kesi ya ugaidi Arusha wamehukumiwa kifungo cha miezi sita kwa kitendo cha kugoma kufika Mahakamani kwa ajili ya kutajwa kwa kesi zao.



Comments


Sign-Up to Our Newsletter

© 2018 Ngwenje Tv

bottom of page