top of page
  • YouTube Social  Icon
  • Instagram Social Icon
  • Twitter Social Icon
  • Facebook Social Icon
air
fa_edited
tangazo
1
2
ngwe6_edited
paul-kagame
majaliwa_edited
magufuri
makamu

wananchi wa Manispaa ya Morogoro wampinga meya wao kuhusu mji kuwa safi wasema moro chafu kupitiliza

  • Writer: Ngwenje Tv Report
    Ngwenje Tv Report
  • Feb 16, 2018
  • 1 min read

Kauli ya Meya wa manispaa ya Morogroro kuwa mji wa Moro ni safi amepigwa vikali na wananchi kwa kusema kuwa mji ni mchafu na kwa wenye viti wa mitaa na maafisa watendaji wamekalia kutoza faini wafanya biashara bila wao kusimamia suala la usafi wa mifereji michafu na kwamba kauli ya meya Pascal Kiyanga, haina ukweli wowote. SUBSCRIBE NGWENJE TV. Uendeleee kupata habari mbalimbali

FOLLOW US ON SOCIAL NETWORKS:


Comments


Sign-Up to Our Newsletter

© 2018 Ngwenje Tv

bottom of page