top of page
  • YouTube Social  Icon
  • Instagram Social Icon
  • Twitter Social Icon
  • Facebook Social Icon
air
fa_edited
tangazo
1
2
ngwe6_edited
paul-kagame
majaliwa_edited
magufuri
makamu

WACHEZAJI WA ZAMANI MAVETARAN WAKUTANA MOROGORO

  • Writer: Ngwenje Tv Report
    Ngwenje Tv Report
  • May 26, 2019
  • 1 min read

Morogoro

UMOJA wa wachezaji wa zamani wa mchezo wa mpira wa miguu mavetaran ( UMSOTA) wamekutana mijini Morogoro Kujadili mambo mbali mbali ya soka nchi pamoja na kuhamasishana kushirikiana kwa pamoja kujiunga katika bima ya afya ili ziweze kuwasaidia na kusaidiana katika shida mbalimbali. Akizungumza mara baada ya kukutana na wachezaji hao mwenyekiti wa Umoja wa Maveterean Taifa Paul Lusozi amesema lengo la umoja huo ni kufahamiana na kusaidia wakati wa shida.

USISAHAU SUBSCRIBE NGWENJE TV, BONYEZA ALAMA NYEKUNDU ILIYOPO HAPO JUU HARAFU BONYEZA ALAMA YA KENGERE,

BURUDIKA, ELIMIKA NA NGWENJE TV

FOLLOW US ON SOCIAL NETWORKS;


Comments


Sign-Up to Our Newsletter

© 2018 Ngwenje Tv

bottom of page