top of page
  • YouTube Social  Icon
  • Instagram Social Icon
  • Twitter Social Icon
  • Facebook Social Icon
air
fa_edited
tangazo
1
2
ngwe6_edited
paul-kagame
majaliwa_edited
magufuri
makamu

TBC: WALIOBOMOLEWA KIPUNGUNI KULIPWA MAMILIONI YA FIDIA

  • Writer: Ngwenje Tv Report
    Ngwenje Tv Report
  • Feb 12, 2018
  • 1 min read

TBC: WALIOBOMOLEWA KIPUNGUNI KULIPWA MAMILIONI YA FIDIA Wananchi wa eneo la Kipunguni na maeneo mengine waliobomolewa na watakaoendelea kubomolewa nyumba zao kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege, watalipwa mamilioni ya fidia. Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye amewahakikishia wananchi kwamba wasiwe na wasiwasi kwa sababu serikali inalishughulikia suala hilo.


Comentarios


Sign-Up to Our Newsletter

© 2018 Ngwenje Tv

bottom of page