top of page
  • YouTube Social  Icon
  • Instagram Social Icon
  • Twitter Social Icon
  • Facebook Social Icon
air
fa_edited
tangazo
1
2
ngwe6_edited
paul-kagame
majaliwa_edited
magufuri
makamu

Serikali ya Tanzania na Rwanda kujenga reli ya kisasa kutoka Kahama hadi Kigali

  • Writer: Ngwenje Tv Report
    Ngwenje Tv Report
  • Jan 15, 2018
  • 1 min read

Serikali ya Tanzania na Rwanda kupitia Marais wake zimekubaliana kujenga reli ya kisasa (Standard Gauge) kutoka Kahama hadi Kigali. Jiwe la Msingi la Ujenzi wa reli hiyo linatarajiwa kuwekwa mwezi Disemba mwaka huu.




"Ujenzi wa Reli ya Kisasa kati ya Isaka, Tanzania hadi Kigali, Rwanda utasaidia kutengeneza ajira kwa wananchi wa nchi hizi mbili pamoja na kukuza na kuimarisha biashara na kufikia maendeleo tuliyoyaweka"-Rais @MagufuliJP



 
 
 

Comments


Sign-Up to Our Newsletter

© 2018 Ngwenje Tv

bottom of page