top of page
  • YouTube Social  Icon
  • Instagram Social Icon
  • Twitter Social Icon
  • Facebook Social Icon
air
fa_edited
tangazo
1
2
ngwe6_edited
paul-kagame
majaliwa_edited
magufuri
makamu

Sakata la wanafunzi kusomea chini, RC atoa wiki 2 tu!

  • Writer: Ngwenje Tv Report
    Ngwenje Tv Report
  • Jan 28, 2018
  • 1 min read

www.ngwenjetv.wixsite.com/news


Taarifa ya Habari Kutoka TBC1 (Januari 27, 2018 - Usiku) Mkuu wa mkoa wa Mtwara, Geliasusi Giakwama, ametoa wiki mbili kwa mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Mtwara, Omary Kipanga, kuanza ujenzi wa madarasa katika shule ya msingi Mitambo, ambayo wanafunzi wake zaidi ya 200 wanasomea chini ya mti wa mkorosho.




Kommentare


Sign-Up to Our Newsletter

© 2018 Ngwenje Tv

bottom of page