top of page
  • YouTube Social  Icon
  • Instagram Social Icon
  • Twitter Social Icon
  • Facebook Social Icon
air
fa_edited
tangazo
1
2
ngwe6_edited
paul-kagame
majaliwa_edited
magufuri
makamu

RC Mongella na Kamati ya Ulinzi na Usalama walivyofanya kazi ya kupasua na kubeba Mawe

  • Writer: Ngwenje Tv Report
    Ngwenje Tv Report
  • Feb 11, 2018
  • 1 min read

Mkuu wa Mkoa Mwanza John Mongella akiwa na Kamati yake ya Ulinzi na Usalama ametembelea Wilaya ya Kwimba kutazama juhudi za wananchi wakichangia miradi ya maendeleo kwa kuweka nguvu zao, Mkuu wa mkoa na Kamati yake ya ulinzi na usalama wakaamua kujiunga na wananchi kubeba mawe.


Comments


Sign-Up to Our Newsletter

© 2018 Ngwenje Tv

bottom of page