Nje ya Tanzania na Afrika Kusini hii ni nchi Diamond anafikiria kununua nyumba
- Ngwenje Tv Report
- Jan 16, 2018
- 1 min read
Kupitia ukurasa wa instagram wa Diamond Platnumz ametuonyesha kuwa ana mpango wa kununua nyumba Kigali Rwanda kwaajili ya familia ukiachilia mbali kuwa na nyumba nchi mbili ambapo ni South Afrika na Tanzania. www.ngwenjetv.wixsite.com/news
Comments