top of page
  • YouTube Social  Icon
  • Instagram Social Icon
  • Twitter Social Icon
  • Facebook Social Icon
air
fa_edited
tangazo
1
2
ngwe6_edited
paul-kagame
majaliwa_edited
magufuri
makamu

MOROGORO- KATIBU TAWALA WA MKOA APAMBA SHEREHE ZA UHURU WA HABARI.

  • Writer: Ngwenje Tv Report
    Ngwenje Tv Report
  • May 9, 2018
  • 1 min read

Katibu tawala wa mkoa wa Morogoro Cliford Tandari amewaagiza waandishi wa habari mkoani humo kufanya kazi zao kwa kuzingatia kanuni sheria na maadili ili kuifanya taaluma hiyo iwe mchango mkubwa katika maendeleo ya watanzania. Kauli hiyo imekuja kufuatia matukio ya uzalilishaji wa watoto inayofanywa na jamii hususani tukio la walimu watatu kumuumiza mwanafunzi wao huko Kilosa amesema endapo waandishi wataandika habari za vijijini kutaiwezesha pia serikali kuchukua hatua za haraka dhidi ya vitendo hivyo.


FOLLOW US ON SOCIAL NETWORKS;


Comments


Sign-Up to Our Newsletter

© 2018 Ngwenje Tv

bottom of page