Majaliwa ameuvunja Mfuko wa Wakfu
- Ngwenje Tv Report
- Jan 14, 2018
- 1 min read

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa mkoani Dodoma ameuvunja Mfuko wa Wakfu wa Kuendeleza zao la Kahawa (CDTF) na amemuagiza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuchunguza mwenendo wa mfuko huo tangu ulipoanzishwa.
Comments