top of page
  • YouTube Social  Icon
  • Instagram Social Icon
  • Twitter Social Icon
  • Facebook Social Icon
air
fa_edited
tangazo
1
2
ngwe6_edited
paul-kagame
majaliwa_edited
magufuri
makamu

KOCHA ST LOUIS; Yanga Ni Timu Nzuri ,Tunawasubiri Nyumbani

  • Writer: Ngwenje Tv Report
    Ngwenje Tv Report
  • Feb 10, 2018
  • 1 min read

KOCHA ST LOUIS; Yanga Ni Timu Nzuri BAO la mtokea benchi Juma Mahadhi limeipa Yanga SC ushindi mwembamba wa 1-0 dhidi ya Saint Louis Suns United ya Shelisheli katika mchezo wa kwanza wa Raundi ya Kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Mahadhi aliye katika msimu wake wa pili Yanga SC tangu asajiliwe kutoka Coastal Union ya Tanga, alifunga bao hilo dakika ya 66 kwa shuti akimalizia kona iliyopigwa na winga Geoffrey Mwashiuya iliyozua kizazaa langoni mwa Saint Louis. Mahadhi alifunga bao hilo dakika moja baada ya kuingia kuchukua nafasi ya Ibrahim Ajib Migomba kama ilivyokuwa kwa mpishi wa bao lake, Mwashiuya ambaye naye alimbadili Emmanuel Martin


Bình luận


Sign-Up to Our Newsletter

© 2018 Ngwenje Tv

bottom of page