top of page
  • YouTube Social  Icon
  • Instagram Social Icon
  • Twitter Social Icon
  • Facebook Social Icon
air
fa_edited
tangazo
1
2
ngwe6_edited
paul-kagame
majaliwa_edited
magufuri
makamu

King Majuto amempongeza rais kwa kuongoza vyema.

  • Writer: Ngwenje Tv Report
    Ngwenje Tv Report
  • Jan 31, 2018
  • 1 min read

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli, amemtembelea Muigizaji maarufu wa vichekesho nchini, King Majuto, aliyelazwa katika hospitali ya Muhimbili, anayeugua ugonjwa wa tezi dume. Baada ya kuonana na Rais Magufuli, King Majuto amempongeza rais kwa kuongoza vyema nchii hii na kuwa rais mwenye msimamo, huku akigusia suala la kutimua wafanyakazi hewa na wenye vyeti feki.




Comments


Sign-Up to Our Newsletter

© 2018 Ngwenje Tv

bottom of page