top of page
  • YouTube Social  Icon
  • Instagram Social Icon
  • Twitter Social Icon
  • Facebook Social Icon
air
fa_edited
tangazo
1
2
ngwe6_edited
paul-kagame
majaliwa_edited
magufuri
makamu

Hatimaye Madee afungukia bifu Lake na Roma.

  • Writer: Ngwenje Tv Report
    Ngwenje Tv Report
  • Jan 31, 2018
  • 1 min read

Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu, hitmaker wa ngoma ya Sema, Hamadi Ally 'Madee' hatimaye amefungukia kile kinachodaiwa kuwa na bifu zito lililopo kati yake yeye na msanii mwenzake, Ibrahim Musa, 'Roma Mkatoliki'. Madee alisema suala la kuwepo wa bifu kati yake na na Roma ni hisia tu zinazozushwa na mashabiki kutokana na vijembe wanavyorushiana na msanii huyo ambaye kimsingi ni mtani wake.





Comentarios


Sign-Up to Our Newsletter

© 2018 Ngwenje Tv

bottom of page