top of page
  • YouTube Social  Icon
  • Instagram Social Icon
  • Twitter Social Icon
  • Facebook Social Icon
air
fa_edited
tangazo
1
2
ngwe6_edited
paul-kagame
majaliwa_edited
magufuri
makamu

DAR ES SALAAM- MO FLAVOUR KUTUMBUIZA MISS TANZANIA MKOA WA DODOMA

  • Writer: Ngwenje Tv Report
    Ngwenje Tv Report
  • May 3, 2018
  • 1 min read

Muandaaji wa mashindano ya miss dodoma 2018 Alex Niktas smesema kuwa mashindano ya kumtafuta mrembo atakae uwakilisha mkoa wa Dodoma katika mashindano ya kimataifa ya miss Tanzania yatapambwa na burudani kutoka kwa msanii wa bongo flava hapa nchini maarufu kwa jina la Mo Flavour. Akizungumza na Ngwenje Tv katika ofice ya Haki Kwanza Advocate Magomeni Mwembe Chai jijini Dar Es Salaam Niktas amesema kamati yake imepitisha jina la msanii huyo baada ya kuridhika na kazi zake za sanaa za Mo Flavour pia wamempa kazi ya kutunga nyimbo inayohusu mashinda hayo.

FOLLOW US ON SOCIAL NETWORKS;


Komentar


Sign-Up to Our Newsletter

© 2018 Ngwenje Tv

bottom of page