top of page
  • YouTube Social  Icon
  • Instagram Social Icon
  • Twitter Social Icon
  • Facebook Social Icon
air
fa_edited
tangazo
1
2
ngwe6_edited
paul-kagame
majaliwa_edited
magufuri
makamu

BREAKING NEWS: WATANZANIA KUMZIKA MKE WA MUFTI LEO MKOANI TANGA

  • Writer: Ngwenje Tv Report
    Ngwenje Tv Report
  • Jan 31, 2019
  • 1 min read

Mke mkubwa wa Mufti wa Tanzania Sheikhe Abubakar Zubeir,Atazikwa Leo kijiji cha kwamndolwa Wilayani Korogwe Mkoani Tanga. Mazishi hayo ya marehemu Hidaya Omari,yanatarajiwa kuhudhuriwa na Mamia na maelfu ya Wa Tanzania wakiwemo Masheikhe,waumini wa madhehebu Dini mbalimbali na viongozi wa vyama na Serikali. Katibu Mkuu wa Bakwata Mwalimu Nuhu Mruma ameeleza kuwa marehemu Hidaya Omari,mama Shafii amefariki usiku wa kuamkia. Jumatano Jana katika Hospitali ya kwamndolwa alipopelekwa baada ya kuugua ghafla. Mwalimu Nuhu Mruma,ameongeza kusema kuwa marehemu alikuwa mzima wa Afya mpaka Siku ya jumanne ilipofika SAA tatu usiku alipoanza kujisikia vibaya kuumwa ndipo walipompeleka Hospitalini hapo nailipofika saasaba usiku kuamkia Jana jumatano akafariki Dunia. MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALI PEMA AMINI

FOLLOW US ON SOCIAL NETWORKS;


Comments


Sign-Up to Our Newsletter

© 2018 Ngwenje Tv

bottom of page