top of page
  • YouTube Social  Icon
  • Instagram Social Icon
  • Twitter Social Icon
  • Facebook Social Icon
air
fa_edited
tangazo
1
2
ngwe6_edited
paul-kagame
majaliwa_edited
magufuri
makamu

AMEZALIWA MWANDISHI MKONGWE NIKSON MKILANYA

  • Writer: Ngwenje Tv Report
    Ngwenje Tv Report
  • Mar 20, 2018
  • 1 min read

AMEZALIWA MWANDISHI MKONGWE NIKSON MKILANYA

Ngwenje Tv- Katika kuthamini mchango mkubwa anaoutoa kwa waandishi wa habari na jamii kwa ujumla ngwenjetv inaungana na mamia ya Watanzania kumtakia maisha marefu,Afya na uzima hususani mafanikio katika shughuli zake mwandishi mwenzetu wa habari mkongwe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Waandishi wa Habari mkoani Morogoro,Niksoni Mkilanya maarufu Nikfado mutu ya watu Hivyo nawataka watu wengine kumuwish kama walivyofanya vingozi mbali mbali wa siasa akiwemo Mbunge wa Gairo Mhe,Ahmed Shabiby na washirika wake kujitokeza hadharani kumtakia maisha mema mwenzetu Mkilanya pia naungana na Viongozi wastahafu wa MOROPC Azizi Msuya na IDDA Mushi,na Waandishi wengine tumeonyesha umoja wa kweli tuendelee hivyo.


FOLLOW US ON SOCIAL NETWORKS;


Comments


Sign-Up to Our Newsletter

© 2018 Ngwenje Tv

bottom of page